Diamond Platnumz — Ntampata Wapi

Diamond Platnumz Ntampata Wapi

Текст песни

Sura yake mtaratibu mwenye macho ya aibu

Kumsahau najaribuu ila namkumbuka Sana'a

Umbo lake mahbibu kwenye maradhi alonitibu

Siri yangu ukaribu bado namumbuka Sana'a

 

Alionifanya silali, jua kali nitafute tukale

Lakini hata hakujali darling akatekwa na wale

Alionifanya silali jua kali nitafute tukale

Ila wala hakujali darling aaah

 

Ntampata wapi kama yule nilompendaga sana

Ntampata wapi kama yule nanipende sana

 

Aii, aii nyota ah

Nyota ndo tatizo langu

Aii nyota ah

Mpaka nalia peke yangu

Aii nyota ah

Nyota ndio shida yangu

Nyota ah

Wamenizidi wenzangu

 

Alidanganywa na wale (wale)

Wenye pesa nyumba gari (gari)

Mi kapuku hakunijali (jaali)

Akanikimbiaa

Alidanganywa na wale (wale)

Wa mapesa nyumba gari (gari)

Mi ungaunga hakunijali (jali)

Jaali akanikimbiaa

 

Alionifanya silali, jua kali nitafute tukale

Lakini hata hakujali darling akatekwa na wale

Alionifanya silali jua kali nitafute tukale

Ila wala hakujali darling aaah

 

Ntampata wapi kama yule nilompendaga sana

Ntampata wapi kama yule anipende sana

 

Bado ananijia ndotoni (bado)

Kila nikiamka simwoni (bado)

Bado ananijia (ni)kilala

Haki ya mungu sio masiara

 

The touch Clever (bado)

Hii ni sauti ya raisi (bado)

Iliomshindaga Ibilisi (bado)

Kwa mwanadamu sio rahisi (bado)

Kamwambie (bado)

Lazima ujue kutofautisha (bado)

Kati ya msalaba na jumlisha (bado)

Kuna X na kuzidisha (bado)

Nicheche (cheche)

 

Bado ananijia nkilala

Haki ya Mungu sio masiara

 

Клип «Ntampata Wapi»

Видеоролики хранятся и модерируются сервисом YouTube. Отказ от ответственности

Заказать перевод Прислать свой вариант перевода

Текст песни Diamond Platnumz Ntampata Wapi предоставлен в ознакомительных целях для личного развития.