Diamond Platnumz — Ukimwona

Diamond Platnumz Ukimwona

Текст песни

Mungu aliumba dunia mapenzi tangu na tangu

Yashanipiga sasa sinabudi nielewe

Siwezi kung'ang'ania huenda sio fungu langu

Japo nishida ila, nitabaki mwenyewe

 

Oh ila, mpe shukrani kwa kuniumiza suraya

Mwambie mi bado mahututi nauguza kidonda changu

Na asisikie kisirani, hukumu ya mapenzi mabaya

Hata ungali hai kayruki usingetibu gonjwa langu

 

Kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)

Sina amani nasaga rumba (rumba)

Oh unani dunda dunda

Sema chine tembee moyoo

 

Unanidunda dunda (mamii moyooo)

Sina amani nasaka rumba (oohh mimii)

Oh unani dunda dunda

Eeeeh ukimwona

 

Ukimwona ukimwona

Ukimwona ukimwona

Ukimwona

 

We nenda mwambie marafiki, marafiki wabaya

Tena wengi waongo, hawawazi ndanganye

Oya ni mashoga rafiki, oohh marafiki wabaya

Ooooh mmmmmhhh

 

Tatizo mi bado, nilipoteleza nkakosa sipajui

Mpaka akafunga virago, na akaamua kuondoka sitambui

Ubaya, kinacho niumiza, maneno neno maneno

Mara kwa ndugu rafiki, kwanini anawapa misemo

 

Najaribu papasa, mbona ka macho ataona chochote

Ila ndo kutwa mikasa, na nazidi kuanguka, niokote

Kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)

Sina amani nasaga rumba (rumba)

 

Oh unani dunda dunda

Sema chine tembee moyoo

Unanidunda dunda (mamii moyoo)

Sina amani nasaga rumba (ooohh mimii)

Oh unani dunda dunda

 

Eeeeeh ukimwona

Ukimwona ukimwonaukimwona ukimwona

Ukimwona

 

Клип «Ukimwona»

Видеоролики хранятся и модерируются сервисом YouTube. Отказ от ответственности

Заказать перевод Прислать свой вариант перевода

Текст песни Diamond Platnumz Ukimwona предоставлен в ознакомительных целях для личного развития.