Diamond Platnumz — Nataka Kulewa

Diamond Platnumz Nataka Kulewa

Текст песни

We niache niende!

Niende niende!

Niache niende niende

Niende niende!

 

Uh, usiniulize kwanini

Sababu utanizingua

Ukitaka jiunge na mimi

Kama ni pesa we kunywa nitanunua

Mi mwanzo sikuamini

Nikajuaga vya kuzua

Kumbe mjinga ni mimi

Ninayetunza wenzangu wanachukua

 

Ai, oh mapenzi (mapenzi)

Yalinifanya kama mtoto nilie vibaya

Mie siwezi

Walionikuta waniache nisemee jina

Oh mapenzi (mapenzi)

Yalinifanya kama mtoto nilie vibaya

Na nina mengi, ah

Yamenikaa moyoni

 

Leo nataka kulewa (lewa)

Mi nataka kulewa (lewa)

Nataka kulewa (lewa)

Zikipanda nimwage ardhini

 

Nataka kulewa (lewa!)

Mi nataka kulewa (lewa!)

Nataka kulewa (lewa!)

Zikipanda nimwage ardhini

 

We niache niende niende!

Niende niende!

Niache niende niende

Niende niende!

 

Mi kwa mapenzi maskini

Nikamvisha na pete kwa kumuoa

Kukata vilimi limi

Vya wazushi wanafiki wanaomponda

Kumbe mwenzangu na mimi

Ni bure tu unajisumbua

Si tuko kama ishirini

Mabuzi ving'asti wengine anawahonga

 

Oh mapenzi (mapenzi)

Yalinifanya kama mtoto nilie vibaya

Mie siwezi

Walionikuta waniache nisemee jina

Oh mapenzi (mapenzi)

Yalinifanya kama mtoto nilie vibaya

Na nina mengi, ah

Yamenijaa moyoni

 

Leo nataka kulewa (lewa)

Mi nataka kulewa (lewa)

Nataka kulewa (lewa)

Zikipanda nimwage ardhini

 

Nataka kulewa (lewa!)

Mi nataka kulewa (lewa!)

Nataka kulewa (lewa!)

Zikipanda nimwage ardhini

 

We niache niende niende

Niende niende (kulewa, kulewaa)

Niache niende niende

Niende niende (kulewa, kulewaa)

 

Kulewa, kulewaa

Kulewa, kulewaa

Kulewa, kulewaa

 

Клип «Nataka Kulewa»

Видеоролики хранятся и модерируются сервисом YouTube. Отказ от ответственности

Заказать перевод Прислать свой вариант перевода

Текст песни Diamond Platnumz Nataka Kulewa предоставлен в ознакомительных целях для личного развития.