Diamond Platnumz — Mapenzi Basi

Diamond Platnumz Mapenzi Basi

Текст песни

Mi mwenzenu tena basi

Oh mapenzi sitaki

Oh mwenzenu tena basi

Basi sitaki

 

Yalinifanya nikaugua

Mara napanga napangua

Mwili ukakonda nikapungua

Ah sikulala, sikulala

Oh maradhi nikaugua oh

Yakanichoma na kuungua roho

Kutwa nawaza na kuwazua

Sikulala

 

Hayo mapenzi bwana, hayana maana

Yalinifanya mi nichekwe

Sababu yake nshagombana, nikatukanwa

Lakini akanipiga teke

Ai haya mapenzi bwana, hayana maana

Yalinifanya mi nichekwe

Sababu yake nkagombana, usiku mchana

Yeye

 

Mi mwenzenu tena basi

Oh mapenzi sitaki

Oh mwenzenu tena basi

Basi sitaki

 

Oh nilishagombana na mama mzazi

Akataka nimwagia radhi

Sababu yule fulani, yule wa moyo wangu

Yakaleta zengwe kwa kazi

Ugomvi wa simba na panzi

Vurugu kwa majirani

Ah, ee Mola wangu

 

Hayo mapenzi bwana, hayana maana

Yalinifanya mi nichekwe

Sababu yake nshagombana, nikatukanwa

Lakini akanipiga teke

Ai haya mapenzi bwana, hayana maana

Yalinifanya mi nichekwe

Sababu yake nkagombana, usiku mchana

Yeye

 

Mi mwenzenu tena basi

Oh mapenzi sitaki

Oh mwenzenu tena basi

Basi sitaki

 

Клип «Mapenzi Basi»

Видеоролики хранятся и модерируются сервисом YouTube. Отказ от ответственности

Заказать перевод Прислать свой вариант перевода

Текст песни Diamond Platnumz Mapenzi Basi предоставлен в ознакомительных целях для личного развития.