Тексты и переводы песен

Kwanini

Usinione nalia, moyoni naumia
Kila siku maugomvi, unanukia mabia
Ina maana unataka useme umuhimu wangu hautambui
Thamani ya mapenzi ndo imegeuka kuwa adui
 
Nikakuimbia nyimbo bado
Nikakupa moyo bado
Nikakupa life na true love ila baby bado
Nimekuimbia nyimbo bado
Nikakupa moyo bado
Nikakupa life na true love ila baby bado
 
Ukose raha
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
 
Nishachoshwa na haya mapenzi
Visa mara mia kwa mwezi
Mara leo limekwisha hili
Kesho kutwa tena ghafla limezuka tena jingine
Choshwa na haya mapenzi
Visa mara mia kwa mwezi
Leo limekwisha hili, kesho lingine
You just don’t know naumia umia umia umia umia
You don’t know naumia umia umia umia umia
 
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
Kwanini ukose raha?
Kisa, kupendwa nawe
 

Понравилась песня? Будем очень благодарны, если вы расскажете о ней друзьям:



Послушать песню и посмотреть клип "Kwanini"

Видеоклипы к песне подбираются автоматически сайтом youtube.com. Отказ от ответственности

Текст песни Diamond Platnumz Kwanini предоставлен в ознакомительных целях для личного развития.