Diamond Platnumz — Kamata

Diamond Platnumz Kamata

Текст песни

Kamata kamata kamatika kamata

Kamata kamata mpaka chini kamata

Kamata kamata kamatika kamata

Kamata kamata mpaka chini kamata

 

Kamata kiuno kamata bega

Kamamta kichwa ka ndoo unabeba

Kamata kimini chalegalega

Ooh maana cha shuka chini unanitega

 

Aah mah ya leo kiboko

Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo

Ana komesha toto

Nami naleta nyundo nimtwange kokoto

 

Nasema kamata kamata kamatika kamata

Kamata kamata mpaka chini kamata

Kamata kamata kamatika kamata

Kamata kamata mpaka chini kamata

 

Eeh kama gari ile vuum vuum (Vuum Vuum)

Mtoto mkali mchum chum (Chum chum)

Ikiwa ngangari ile ngumu ngumu (Ngumu ngumu)

Nenda kamchinjie mbali kwa room room

 

Sa twende kamata kama unaisakata

Nyuma kwa bambata ile kinoma

Tegeta tabata fanya unaifatata

Za mbuzi kakataa amegoma (Aiiih)

 

Katikati chini chini (Kamata)

Kasi kasi speed 12o (Kamata)

Eeh kama unamenya ndizi (Kamata)

Police anashika mwizi (Kamata)

 

Aah mah ya leo kiboko

Mwali kanipa nyama kwa kisamvu cha kopo

Ana komesha toto

Nami naleta nyundo nimtwange kokoto

 

Nasema kamata kamata kamatika kamata

Kamata kamata mpaka chini kamata

Kamata kamata kamatika kamata

Kamata kamata mpaka chini kamata

 

Клип «Kamata»

Видеоролики хранятся и модерируются сервисом YouTube. Отказ от ответственности

Заказать перевод Прислать свой вариант перевода

Текст песни Diamond Platnumz Kamata предоставлен в ознакомительных целях для личного развития.