Тексты и переводы песен

Ukimwona

Mungu aliumba dunia mapenzi tangu na tangu
Yashanipiga sasa sinabudi nielewe
Siwezi kung'ang'ania huenda sio fungu langu
Japo nishida ila, nitabaki mwenyewe
 
Oh ila, mpe shukrani kwa kuniumiza suraya
Mwambie mi bado mahututi nauguza kidonda changu
Na asisikie kisirani, hukumu ya mapenzi mabaya
Hata ungali hai kayruki usingetibu gonjwa langu
 
Kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)
Sina amani nasaga rumba (rumba)
Oh unani dunda dunda
Sema chine tembee moyoo
 
Unanidunda dunda (mamii moyooo)
Sina amani nasaka rumba (oohh mimii)
Oh unani dunda dunda
Eeeeh ukimwona
 
Ukimwona ukimwona
Ukimwona ukimwona
Ukimwona
 
We nenda mwambie marafiki, marafiki wabaya
Tena wengi waongo, hawawazi ndanganye
Oya ni mashoga rafiki, oohh marafiki wabaya
Ooooh mmmmmhhh
 
Tatizo mi bado, nilipoteleza nkakosa sipajui
Mpaka akafunga virago, na akaamua kuondoka sitambui
Ubaya, kinacho niumiza, maneno neno maneno
Mara kwa ndugu rafiki, kwanini anawapa misemo
 
Najaribu papasa, mbona ka macho ataona chochote
Ila ndo kutwa mikasa, na nazidi kuanguka, niokote
Kutwa nzima moyo unanidunda dunda (dunda)
Sina amani nasaga rumba (rumba)
 
Oh unani dunda dunda
Sema chine tembee moyoo
Unanidunda dunda (mamii moyoo)
Sina amani nasaga rumba (ooohh mimii)
Oh unani dunda dunda
 
Eeeeeh ukimwona
Ukimwona ukimwonaukimwona ukimwona
Ukimwona
 

Понравилась песня? Будем очень благодарны, если вы расскажете о ней друзьям:



Послушать песню и посмотреть клип "Ukimwona"

Видеоклипы к песне подбираются автоматически сайтом youtube.com. Отказ от ответственности

Текст песни Diamond Platnumz Ukimwona предоставлен в ознакомительных целях для личного развития.